Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Kilimo Tanzania Bw. Timothy Mmbaga ( aliyeketi kulia) akiwa na Balozi wa Norway hapa Nchini Bibi Elizabeth Jacobsen wakiwa kwenye picha ya pamoja muda mfupi baada ya kutia saini ya Mkataba wa makubalino ya ushirikiano kuhusiana na Programu ya Ubia wa Kilimo Tanzania