MKUTANO MKUU WA MWAKA 2021

 

"Taarifa Kwa Umma"

Wanachama wote wa Agricultural Council of Tanzania – ACT, wanatangaziwa kwamba Mkutano Mkuu wa Mwaka – 2020, utafanyika tarehe 26 Novemba 2021, Jijini Dar es Salaam. 

Angalizo

  • Malipo yanaweza kufanywa siku hiyo hiyo ya mkutano, kabla ya kuingia Ukumbini.
  • Kulipa ada kutahalalisha mwanachama kushiriki kupiga au kupigiwa kura.
  • Wanachama wote wanakumbushwa kulipa ada zao za kila mwaka.
  • Angalizo
  • Mtajulishwa kuhusu ukumbi wakufanyia mkutano

Thibitisha ushiriki wako mapema